Posts

JINSI YA KUPIKA MAKANGE YA SAMAKI

Image
Kaributena katika blog yangu uko na International Admin leo naenda kukuletea pishi la Makange ya samaki. Makange ni kati ya mboga rahisi sana kupika na utashangaa kujua kuwa huenda ulikuwa unajichelewesha kuandaa mboga hiyo nyumbani kwako kwa kuogopa vile unayakuta katika hoteli kubwa nyingi na yanavyowekwa kwenye sahani. Huenda umetamani kupika mboga ya makange kwa muda mrefu lakini ukadhani kwa namna ulivyowahi kuiona kwenye sahani, siyo mboga rahisi kupika. TUANZE MAHITAJI ✓ Kitunguu kimoja ✓ Nyanya kubwa 3 ✓ Karoti moja ✓ Hoho moja ✓ Ndimu moja ✓Kitunguu saumu na tangawizi iliyosagwa kijiko kimoja (vyote kwa pamoja) ✓ Tomato fresh 2 ✓ Chumvi kiasi ✓ Binzari nyembamba na pilipili manga ya unga kijiko kimoja cha chakula ✓ Curry powder kijiko kimoja cha chakula ✓ Binzari ya mchuzi kijiko kimoja cha chai ✓ Soya sauce ya kukoza vijiko 3 vya chakula ✓ Maji robo kikombe ✓ Mafuta ya kupikia vijiko 3-4 ✓ Spice ya samaki kijiko 1 Cha chakula ✓ Samaki mkubwa mmo

HISTORIA YA SAMIA SULUHU HASSAN

Image
Samia Suluhu Hassan alizaliwa mnamo tarehe 27/01/1960 katika visiwa vya Zanzibar. Alianza elimu ya msingi mnamo 1966-1972 katika shule tofauti tofauti zilizopo Unguja na Pemba yaani Zanzibar. Alianza katika shule ya CHAWAKA (Unguja), Kisha alihamia katika shule ya msingi ZIWANI (Pemba) na alimaliza katika shule ya msingi ya Mahonda. Elimu yake ya sekondari alianza 1973-1976 .Alisoma katika shule mbili, 1973-1975 alisoma katika shule ya sekondari ya Ngambo (Unguja) Kisha mwaka 1976 alihamia shule ya Lumumba (Unguja) ambapo alihitimu elimu ya sekondari. Hakuendelea tena na masomo ya chuo kwa muda huo. Aliajiriwa katika serikali ya Zanzibar Kama mchapishaji ambapo alipanda ngazi na kuwa Afisa mipango mnamo 1987-1988. Samia Suluhu Hassan alijiendeleza kielimu huku akiwa mtumishi wa serikali kwa kusoma kozi fupi mbalimbali Kama vile Sheti ya takwimu kabla ya kujiunga na Taasisi ya Maendeleo na uongozi ya Mzumbe Morogoro ambapo alifanikiwa kuhitimu stashahada ya juu ya utawala

VITU VYA KUFANYA KARIBIA NA MITIHANI.

Image
Karibu sana,basi leo tuko na namna ya kujiandaa wakati wa kukaribia mitihani ili uweze kufanya vizuri. 1. ACHA UOGA Kuna watu wanaogopa Sana wakikaribia kufanya mitihani na hii hali hupelekea kokosa hali ya kutojiamini na kusoma kwa ku panic. 2. JUA MADA ZOTE ZA KILA SOMO UNALOSOMA. Kuna watu wanaingia kwenye mtihani bila kujua hilo somo Lina mada zipi. Hatakama ukashindwa kujua moja kwa moja kila mada lakini kwa uchache ujue mada inahusu nini. 3. SOMA KWA LENGO (TARGET) Tumia muda mwingi kusoma kile unachokielewa kuliko kukimbiza Kurasa /Slides hata Kama hauelewi. Hii itakufanya ushindwe kujiamini ukiingia katika mtihani kwani kila utakachokutana nacho utakuwa hukijui vizuri unajua juu juu tu. Lakini ukiingia na kitu ambacho umekielewa vizuri ukikutana nacho utakijibu kwa weledi na kukupa hamasa ya kujibu maswali mengine vizuri. 4. SOMA MITIHANI ILIYOPITA (Past Papers) Kusoma mitihani iliyopita hii itakusaidia kukupa muongozo wa maswali yanavokuwa lakini pia

VIGEZO VYA KULIPWA YOUTUBE

Image
Karibu sana katika blog yangu Leo naenda kukuletea vigezo vya kulipwa YouTube. Kwanza kabisa mtu yeyote anaweza kumiliki account ya YOUTUBE na akalipwa. Kitendo Cha wewe kuwa na account ya email ya Google (Gmail) tayari inakufanya uwe na YouTube account. YouTube ni mtandao ambao unazidi kushika Kasi na kuingizia kipato watu wengi kila siku. Una uwezo wa kuweka videos zako watu wakaangalia na ukalipwa pia. VITU VYA KUWA NAVYO WAKATI WA KUFUNGUA ACCOUNT YA YOUTUBE 1. Fungua Gmail account katika simu yako. JINSI YA KUFUNGUA GMAIL ACCOUNT ✓ Ingia Google ✓ Andika Gmail sign up ✓ Utaletewa form ya kujaza taarifa zako binafsi ✓ Kisha utakubaliana na masharti ya Gmail kwa kubonyeza kitufe kilichoandikwa Agree baada ya kujaza form yako ✓ Tayari utakuwa na Google account (Gmail) 2. Baada ya kuwa na account ya Google utaingia youtube uta click kwenye icon ya juu kabisa upande wa kulia itakayokuwa inawakilisha Gmail account yako. 3. Utaenda katika my channel 4. Ut

JINSI YA KUJITENGENEZEA JINA (BRAND) KUPITIA MITANDAO

Image
Kwanza, unatakiwa ujitambue wewe ni Nani na unafanya nini mitandaoni Kisha uje uyafanye yafuatayo: 1. WEKA PROFILE PICTURE (DP) . Watu wengi wanaweka picha za katuni, midoli, maua, wananyama, logo, au picha za watu wengine. Hakuna mtu ambae anavutiwa na vikatuni nakadhalika. Unachotakiwa kufanya ni kuweka professional photo. Professional photo haipigwi mwili mzima, Wala watu hawaweki mapozi. Unaweza kuangalia hapa chini mfano wa professional photo na itapendeza Kama utaipiga na simu au kamera yenye quality. Professional photo huanza kuvuta makini ya mtu na kukufanya uonekane uko makini (serious) na unachokifanya. 2. WEKA ACCOUNT YAKO PUBLIC Kuna watu account zao wanaziweka private Sana Sana Instagram. Kama unataka kufanya biashara au watu wajue unachokifanya usiweke account yako private. Weka Public kila mmoja aweze kuona unachokifanya. 3. TENGENEZA WAFUASI WENYE THAMANI (VALUABLE FOLLOWERS). Kuna watu wanatabia ya ku follow watu hovyohovyo kwa lengo la kujipatia follower

JINSI YA KUTENGENEZA MANGO PICKLE (CHACHANDU YA EMBE) NYUMBANI

Image
Karibu tena katika darasa letu la mapishi basi leo naenda kukuletea namna ya kuandaa achari ya embe nyumbani unaweza kula kwa ugali au chochote ukipendacho. MAHITAJI. ✓Maembe mabichi (usitumie embe zilizoiva au zilizoanza kuiva) ✓ Pilipili mbichi (kama ukipenda) ✓ Achari masala ✓Masala ya kuwasha ✓ Mafuta ya kupikia ✓ Binzari ya njano (tumeric powder) ✓ Chumvi kiasi. MATAYARISHO. ✓ Osha vizuri embe zako na uzikate Kate saizi uipendayo lakini usimenye maganga (Kata vikonyo cha juu na chini) ✓ Loweka embe zako weka na chumvi kwa muda wa siku mbili au tatu Kisha utazianika kwa siku moja au mbili. (Angalia zisikauke Sana zitaleta ugumu wakati wa kula) ✓ Weka mafuta jikoni mpaka yapate moto Kisha yatoe yaweke pembeni yapoe yawe Kama ulivyoyatoa dukani. ✓Chukua chombo chenye nafasi ya kutosha changanya vitu vyote pamoja na mafuta mpaka vichanganyike vizuri ✓ Kisha anika mchanganyiko wako kwa siku kadhaa ili uive vizuri na hapo utakuwa tayari kwa matumizi

JINSI YA KUPIKA BIRIANI TAMU YA KUKU

Image
Kaributena katika darasa letu la mapishi basi leo naenda kukuletea namna ya kuandaa biriani nzuri ya kuku. MAHITAJI kuku 1kg Mchele wa basmati/ wakawaida (Hapa nitatumia nusu) Vitunguu maji 1/4 Nyanya zilizosagwa tano Nyanya ya mkebe Vitunguu saumu punje 10 Pilipili za kijani 4 Mafuta 1/4 Mdalasini vijiti 5 Hiliki punje 10 Tangawizi vijiko 2 vya chakula Majani ya nanaa yaliyokatwa kibakuli kidogo 1 Binzari nyembamba kijiko 1 cha chai Chumvi kijiko 1 cha chai Manjano 1/2 kijiko cha chai Zafarani 1/2 kijiko cha chai Kotmiri iliyokatwa 1/4 kikombe Maziwa ya mtindi kikombe 1 Njegere (ukipenda) JINSI YA KUANDAA Loweka mchele w kwa dakika 15 hadi 30 Weka mafuta kwenye sifuria, yakishapata moto kaanga vitunguu maji hadi viwe na rangi ya brown kisha chota vitunguu robotatu ya ulivyovikaangaweka pembeni vingine vibaki kwenye sufuria. Twanga kwa pamoja binzari nyembamba, kitunguu swaumu, tangawizi, nusu ya pilipili na vijiti vya mdalasini, kisha weka robo tatu ya vit