Posts

Showing posts with the label Mitandao

VIGEZO VYA KULIPWA YOUTUBE

Image
Karibu sana katika blog yangu Leo naenda kukuletea vigezo vya kulipwa YouTube. Kwanza kabisa mtu yeyote anaweza kumiliki account ya YOUTUBE na akalipwa. Kitendo Cha wewe kuwa na account ya email ya Google (Gmail) tayari inakufanya uwe na YouTube account. YouTube ni mtandao ambao unazidi kushika Kasi na kuingizia kipato watu wengi kila siku. Una uwezo wa kuweka videos zako watu wakaangalia na ukalipwa pia. VITU VYA KUWA NAVYO WAKATI WA KUFUNGUA ACCOUNT YA YOUTUBE 1. Fungua Gmail account katika simu yako. JINSI YA KUFUNGUA GMAIL ACCOUNT ✓ Ingia Google ✓ Andika Gmail sign up ✓ Utaletewa form ya kujaza taarifa zako binafsi ✓ Kisha utakubaliana na masharti ya Gmail kwa kubonyeza kitufe kilichoandikwa Agree baada ya kujaza form yako ✓ Tayari utakuwa na Google account (Gmail) 2. Baada ya kuwa na account ya Google utaingia youtube uta click kwenye icon ya juu kabisa upande wa kulia itakayokuwa inawakilisha Gmail account yako. 3. Utaenda katika my channel 4. Ut

JINSI YA KUJITENGENEZEA JINA (BRAND) KUPITIA MITANDAO

Image
Kwanza, unatakiwa ujitambue wewe ni Nani na unafanya nini mitandaoni Kisha uje uyafanye yafuatayo: 1. WEKA PROFILE PICTURE (DP) . Watu wengi wanaweka picha za katuni, midoli, maua, wananyama, logo, au picha za watu wengine. Hakuna mtu ambae anavutiwa na vikatuni nakadhalika. Unachotakiwa kufanya ni kuweka professional photo. Professional photo haipigwi mwili mzima, Wala watu hawaweki mapozi. Unaweza kuangalia hapa chini mfano wa professional photo na itapendeza Kama utaipiga na simu au kamera yenye quality. Professional photo huanza kuvuta makini ya mtu na kukufanya uonekane uko makini (serious) na unachokifanya. 2. WEKA ACCOUNT YAKO PUBLIC Kuna watu account zao wanaziweka private Sana Sana Instagram. Kama unataka kufanya biashara au watu wajue unachokifanya usiweke account yako private. Weka Public kila mmoja aweze kuona unachokifanya. 3. TENGENEZA WAFUASI WENYE THAMANI (VALUABLE FOLLOWERS). Kuna watu wanatabia ya ku follow watu hovyohovyo kwa lengo la kujipatia follower

HASARA ZA MITANDAO

Image
International Admin Hakuna chenye faida kikakosa hasara. Mitandao ina hasara zake nyingi hivyo Kila mtu inampasa kuziangalia kwa jicho la tatu. KUINGILIA FARAGHA Kupitia mitandao watu wanaingilia faragha za watu kwa kuchukua au kutizama taarifa zako bila idhini yako. Kwa jina la kitaalam wanaitwa Hackers, lakini pia mtu anaweza akarusha maudhui ya faragha ambayo yanaingilia faragha ya mtu kwa jina la kimtaani wanaita Connection . Napenda nikushauri kutoweka taarifa zako binafsi kwenye mitandao ya kijamii maana ni faragha yako.watu wengi hawajui kuwa hata mwaka na tarehe ya kuzaliwa ni faragha. UDANGANYIFU NA UTAPELI Watu wengi wamelia mitandaoni watu wanatangaza biashara unaipenda unalipia hupati bidhaa. Wengine wanajifanya wako nje ya nchi wanaleta bidhaa kwa bei rahisi mfano anaweza kuigiza yeye ni mhindi kumbe ni mtanzania yuko Buza amekaa anaandaa matangazo ya kutapeli watu. Lakini hata matumizi ya application mbalimbali Kama vile Snapchat n.k zin

ZIJUE FAIDA ZA MITANDAO

Image
International Admin. Huwezi kuona faida za mitandao Kama yenyewe ndio chanzo kikubwa Cha kukumalizia bando. Unaweza kutumia mitandao Kama ifuatavyo KUJIPATIA ELIMU. Watu wengi wanaingia YouTube , Facebook, Instagram, Google, Twitter, n.k kupata elimu za vitu mbalimbali Kama vile taaluma, mapishi, mavazi, biashara, mahusiano,kushona, ubunifu, teknolojia n.k CHANZO CHA KIPATO wanatumia mitandao Kama Facebook, YouTube, Instagram, Twitter, na michezo mbalimbali mtandaoni kujipatia kipato. Ukiwekeza katika mtandao utaona matunda yake yapo inahitaji uvumilivu kidogo. KURAHISISHA MAWASILIANO Leo hii mtu aliyoko China anaweza kuwasiliana na mtu aliyoko Tanzania moja kwa moja ndani ya muda mfupi. Watu hufikisha taarifa kwa watu wengi walengwa ndani ya muda mfupi kupitia makundi mbalimbali ya mitandaoni Kama makundi ya WhatsApp na Facebook. BURUDANI Kila aina ya burudani utakayoihitaji ipo mtandaoni, wewe Kama ni mpenda mziki, tamthilia, katuni, viche