Posts

HISTORIA YA ALIKO DANGOTE.

Image
NAFASI ZA SENSA 2022 www.tamisemi.go.tz JIANDAE KUHESABIWA Aliko Dangote alizaliwa tarehe 10 April 1957 katika mji wa Kano nchini Nigeria. Anatokea katika familia ya kitajiri Sana ya wafanya biashara. Aliko Dangote ni mjuu wa Alhajj Alhassan Dantata mfanya biashara mkubwa na tajiri aliyejishughulisha na mashamba makubwa ya Karanga na alifariki mwaka 1955. Dangote alifanikiwa kuanza elimu na tangu alivokuwa mdogo alionesha kupendelea zaidi biashara na alikuwa akiuza pipi na mishumaa. Elimu yake ya chuo kikuu aliipata nchini Misri katika chuo Cha Al -Azhary University (Cairo- Misri) na alisomea masomo ya biashara. Alipofikisha miaka 20 alisajiri kampuni yake ndogo iliyokuwa inajihusisha na uzalishaji wa Sukari na cement iliyoitwa Dangote Group. Familiaya Dangote ilikuwa na maelewano mazuri na serikali ya Nigeria hivyo basi haikuwa ngumu kwake kupata vibali vya kufungua kampuni na Viwanda. Kama inavyofahamika kupata vibali vya biashara na m

KATIKA KIJIJI CHA UJASI

NAFASI ZA SENSA 2022 www.tamisemi.go.tz JIANDAE KUHESABIWA SEHEMU YA 3 Daudi na Chausiku waliishi pamoja kwa muda wa miezi mitatu hivi. Siku moja Daudi akawa mwenye kupanga panga nguo zake na vitu vyake. Chausiku alimuona akashindwa kuvumilia. Chausiku: Mbona sikuelewi Daudi unafanya nini ? Daudi: Napanga vitu vyangu nitoroke nimechoka maisha ya hapa siyawezi nahitaji kuwaona ndugu zangu. Chausiku: Ina mana unataka uniache na nani Mimi (kwa huzuni) dada angu amepoteza maisha kwa ajili yako! Daudi: Natambua hilo mpenzi, sitoondoka peke yangu tutatoroka wote. Hivyo basi Chukua dumu la maji lijaze maji ya kunywa kesho alfajiri tutaanza safari. Basi kesho ilipowadia Daudi akavaa nguo zake za kimjini mjini na akamvalisha Chausiku Suruari na T-shirt wakabeba chakula na dumu la maji tayari kwa safari Daudi : Mpenzi wangu umependeza Sana umekuwa Kama madada duu wa mjini. Basi wakaanza kutoroka na asubuhi kukapambazuka huku wakisonga na safari

KATIKA KIJIJI CHA UJASI

NAFASI ZA SENSA 2022 www.tamisemi.go.tz JIANDAE KUHESABIWA SEHEMU YA 2 Asubuhi kukakucha basi Chausiku akaandaa mazingira ya kupata kifungua kinywa huku dada yake akisafisha mazingira. Mda wote huo Daudi akimtizama Sana Chausiku kwa mazingatio makubwa. Basi wakanywa chai baada ya hapo Nyaukwama alimtakia kila la heri Daudi katika Safari yake. Kisha Chausiku na Daudi wakaanza safari ya kwenda kwa mfalme Zombi kuomba ruhusa. Walipokuwa wakipita njiani watu walishangaa Sana kumuona Chausiku akiwa na mgeni aliyevaa tofauti kabisa na asili yao. Kila walipopita watu waliitana ishara ya kuwashangaa Sana. Walivofika tu kwa mfalme walimkuta amekaa katika kiti chake Cha enzi. Mfalme Zombi alivowaona tu alichukia ghafla Mfalme: Chausiku! ni upuuzi gani huu unafanya kuniletea mtu aliyevaa vitu vya ajabu ajabu mbele yangu,? Walinzi! mtoeni huyu na haya mavazi yake ya ajabu avae Kama wenzake. Basi Daudi akavuliwa nguo na kuvalishwa Kaniki Kama wengine Kisha yey

KATIKA KIJIJI CHA UJASI

Image
International Admin WAHUSIKA 1. Chausiku 2. Nyaukwama (Dada wa chausiku) 3. Daudi. 4.Zombi (mfalme) SEHEM YA 1 Katika Kijiji kimoja Cha Ujasi kulikuwa na mfalme mmoja gaidi Sana aliyeitwa Zombi. Mfalme Zombi aliweka masharti magumu Sana katika himaya yake ya kwamba haruhusiwi mtu yeyote kuingia ndani ya Kijiji bila ya ruhusa ya mfalme, na hairuhusiwi mtu yeyote kutoka nje ya Kijiji bila ya ruhusa ya mfalme na endapo atatoka atakutana na mauza uza na mambo ya kutisha Sana huko njiani. Mfalme Zombi alikuwa ni gaidi Sana kiasi Cha kila mtu alimuogopa Sana aliposikia jina lake limetajwa. Watu wa Kijiji Cha Ujasi walikuwa hawavai nguo za kawaida Kama hivi Sasa ila wao wanaume walijifunga kaniki nyeusi chini na wanawake walijifunga kaniki nyeusi chini na kwenye maziwa tu. Siku moja chausiku alienda shamba kulima na baada ya hapo akaanza kukata kuni, akiwa tayari amefungasha mzigo wake wa kuni ghafla anasikia kukuru kakara za majani Kama Kuna mtu anamfata. Hamad

JINSI YA KUTENGENEZA UBUYU WA BABU ISSA

Image
NAFASI ZA SENSA 2022 www.tamisemi.go.tz JIANDAE KUHESABIWA Kama ambavyo tunajua ubuyu huu ni pendwa Sana na watu hasa kwa wewe mjasiriamali ni vema ukajifunza. MAHITAJI 1. Sukari (vikombe 2 vya chai) 2. Maji (Vikombe vikubwa 2) 3. Ubuyu wa tunda (vikombe 4) 4. Ubuyu wa Unga (nusu kikombe) 5. Pilipili ya Unga (robo kijiko) 6. Chumvi ya Unga (Robo kijiko) 7. Hiliki ya Unga (robo kijiko ) 8. Rangi nyekundu au yoyote. NAMNA ✓ Chukua sifuria weka maji yachemke changanyana sukari, chumvi, pilipili ya Unga, rangi na hiliki ✓ Mimina ubuyu wa tunda na kuroga kwa dakika mbili ✓ Mimina ubuyu wa Unga na koroga ✓Baada ya hapo Mimina kwenye chombo Cha wazi na uache upoe Kama umependeza somo langu la leo weka comment hapo chini au Kama unaswali nitakujibu punde. KARIBU TENA

SAFARI YA MAFANIKIO YA BAKHRESA

Image
NAFASI ZA SENSA 2022 www.tamisemi.go.tz JIANDAE KUHESABIWA Leonimeona niwasogezee historia ya Billionaire wetu kutoka Tanzania ambaye anajulikana Sana kwa jina la Bakhresa. Jina lake kamili anaitwa SAID SALIM BAKHRESA. ALIZALIWA WAPI? Bakhresa alizaliwa mwaka 1949 huko Zanzibar na alianza elimu ya msingi, mpaka alipofikia umri wa miaka 14 Bakhresa aliacha shule kutokana na ugumu wa maisha ya nyumbani kwao. Hata hivyo baba yake alikuwa na madeni mengi sana hivyo akaamua aanze kufanya biashara ya viazi vya kuchemsha ili kukidhi familia yake. Mnamo 1960 Bakhresa akajihusisha pia na biashara ya kununua mabaki ya viumbe vya baharini Kama vile mifupa na magome ya viumbe Kisha aliyauza Mombasa (Kenya). Kutoka Kenya pia alinunua ngozi za viatu na kuja kuvishona huku Tanzania na kuviuza. Ilipofika1970 aliirudia Tena biashara yake ya viazi lakini akiwa ameiboresha na aliongezea mikate. Akaona haitoshi akaamua kununua mgahawa kutoka kwa mhindi ukiwa na jina l

JINSI YA KUTENGENEZA TAMBI NZURI ZA DENGU

Image
NAFASI ZA SENSA 2022 www.tamisemi.go.tz JIANDAE KUHESABIWA Kwanza kabisa nikuhakikishie kuwa tambi za namna hii ni nzuri na tofauti kabisa na unazoziona barabarani. Kajaribu halafu utarudi kutoa mrejesho hasa kwa wajasiriamali hizi utaziuza Sana. MAHITAJI 1. Unga wa dengu (8-10)Kg 2. Sukari (2Kg) 3. Ngano (2Kg) 4. Manjano (kijiko 1) 5. Chicken Masala (Kijiko 1) 6. Kitunguu swaum kilichopondwa kiasi 7.Baking powder ya Simba ya blue (nusu kijiko) 8. Pilipili manga (Kijiko 1) 9. Chumvi kiasi 10. Maji ya vuguvugu (lita 3-4) 11. Mafuta ya kula NAMNA YA KUTENGENEZA ✓ Changanya mchanganyo wote kasoro maji mpaka vichanganyike ✓ Weka maji ya vugu vugu mpaka mchanganyo wako uwe laini Kama ugali wa mtoto ✓ Chota mchanganyo wako weka kwenye kifaa Cha kutengenezea tambi ✓ Hakikisha mafuta yamepata moto vizuri ✓ Kaanga tambi kwenye mafuta (Koroga Mara moja) ✓ Chuja mafuta kwenye tambi baada ya kuzitoa jikoni > ✓ Subiri zipoe na tambi zako zitak