JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI


International Admin

MAHITAJI
•Sulphonic acid (salfonik asid)
•Soda Ash
•Gryserine
•Perfume (pafyum)
• Rangi
•Slace
• Chumvi ya mawe
•Formalin (fomalin)
•Alka

VIFAA
✓Kikombe Cha Lita moja
✓Kijiko Cha chakula
✓Beseni
✓Ndoo ya Lita 20 tupu
✓Maji Lita 20

HATUA
1. Mimina maji lita moja kwenye beseni
2. Ongeza nusu Lita ya sulphonic acid
3. Ongeza slace nusu
4. Weka soda ash nusu HALAF KOROGA UPANDE MMOJA (Yani Kama utaanza kukoroga kwenda kushoto basi mwanzo mwisho utakoroga upande huo huo)
5.Weka chumvi ya mawe nusu (halaf koroga)
6. Changanya Alka nusu na maji lita tano pembeni (halaf mimina kwenye mchanganyiko na koroga upande ule ule ulioanza nao)
7. Weka Formalin vijiko vinne
8. Chukua rangi kijiko kimoja koroga pembeni halaf mimina kwenye mchanganyiko
9. Weka perfume vijiko 2 au 3 halafu KOROGA (perfume utanunua harufu uipendayo na hizi sio za kujipulizia mwilini)
NB
Kazi ya gryserine hii inawekwa ili kuua bacteria
Vifaa utavipata katika maduka ya malighafi

Kama umependeza somo langu la leo weka comment hapo chini au Kama unaswali nitakujibu punde.

KARIBU TENA

Comments

Popular posts from this blog

VITU VYA KUFANYA KARIBIA NA MITIHANI.

CHEKA WITH INTERNATIONAL ADMIN

JINSI YA KUANDAA VIUNGO VYA PILAU VYENYE HARUFU NZURI.